Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

8/10/2011

Mambo ya nanenane mkoani Arusha.

watu na mishemishe zao!


Watu wamekusanyana katika bango la maonyesho.

Wafanyabiashara ndogondogo hawakuwa mbali,

Watoto na koni zao mikononi ili mradi ni sikukuu!

Foleni ya kuingia ndani ya nane!
burudani pia ilihusika ndani ya nanenane!

mtoto akishangaa burudani iliyokuwa ikitolewa katika maonesho hayo!