Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

9/17/2013

Airtel yakabidhi hundi ya milioni 40 kwa Kikosi cha usalama barabarani.

 Meneja Uhusiano wa Airtel - Tanzania, Jackson Mmbando akizungumza na waandishi wa habari juu ya udhamini wa Airtel kwenye wiki la nenda kwa Usalama barabarani ikiwa ni muda mfupi baada ya kampuni hiyo kukabidhi hundi ya shilingi milioni 40 kwa Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Kamanda Mohamed  Mpinga (kushoto).

 Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani, DSP Mohamed R. Mpinga (katikati) akifurahia baada ya kupokea hundi ya shilingi milioni 40 kutoka Airtel kwa ajili ya


Kamanda Mpinga akiteta jambo na Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando baada ya makabidhiano ya hundi.