Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

4/06/2012

BREAKING NEWS: Kanumba afariki dunia

MITAA INAVYOSEMA KUHUSU CHANZO CHA KIFO:
 
MWIGIZAJI nguli Tanzania, Steven Kanumba amefariki dunia ghafla nyumbani kwake maeneo ya Sinza Vatican, Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Chanzo kimesema kuwa Kanumba alifariki wakati akiwa anagombana na mpenzi wake, mwigizaji mwenzake, Lulu.
“Alikuwa anagombana na Lulu. Lulu akamsukuma Kanumba, akaangukia kichwa, ndio akafa, ilikuwa saa tisa usiku,”kilisema chanzo.
bongostaz inaelekea eneo la tukio ambako inaelezwa tayari mamia ya watu wamekwishafika ili kukupasha habari zaidi.

TUMAINI IRINGA: Tume ya uchaguzi yatangazwa

Mwenyekiti mpya wa tume ya uchaguzi Edo Mfungo akiwa anaongea

Baadhi ya wanatume wakiwa wanasikiliza kwa umakini

Aliyekuwa raisi wa serikali ya wanafunzi akiwa kama mjumbe katika tume


Wanatume wote kwa ujumla


Mwenyekiti alipokuwa akisisitiza jambo kwa wawakilishi wa uongozi wa chuo
Hakimu aliyeiapisha tume Mh. Gladis Barthy akiwa anatoka nje