Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

12/18/2011

Tumaini-Iringa; Kikao cha bunge chaendelea naibu waziri wa habari ataka kuanguka bungeni

                          Waziri wa katiba na sheria akiwa anawasilisha bajeti yake bungeni

                          Mawaziri waliowakilisha tawi la chuo cha Tumaini kutoka Mbeya

               Wakati kikao kinaendelea naibu waziri wa habari akazidiwa ghafla na kutaka kuanguka

          Baada ya kupata soda akaonesha dalili za kupona ingawa hakurudi bungeni moja kwa moja



                 wakati wa chakula ndo akaonekana amepona kabisa na kufanya mashambulizi ya hatari

Muda wa kazi kwa huyu mbunge akujivunga alikitafuna inavyotakiwa 
ni mbunge anayewawakilisha wanafunzi wa Journalism mwaka wa pili.