Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

2/14/2012

Mamilioni yaliyochangishwa na Nahodha yatokomea na kiongozi wa UVCCM

Aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Shamsi Vuai Nahodha.
MWENYEWE ALITOA SH2 MILIONI, SHEKIFU, OLE SENDEKA NAO WALICHANGIA
Peter Saramba, Arusha
MMOJA wa wanachama wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara,  anadaiwa kutoroka na zaidi ya Sh26 milioni za jumuiya hiyo zilizochangwa kwenye harambee iliyofanyika Mei 9, mwaka juzi na kuongozwa na aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha.
Akizungumza kwa simu kutoka Mererani, Simanjiro, Mwenyekiti wa UVCCM wilayani humo, Kiria Laizer alithibitisha kuwa fedha hizo zilizochangwa kwa lengo la kutunisha mfuko wa maendeleo ya vijana Simanjiro ziliyeyuka muda mfupi baada ya harambee hiyo.

Katika harambee hiyo, Nahodha ambaye sasa ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi alichanga fedha taslimu Sh2 milioni.
Ilielezwa kwamba wageni wawili waliohudhuria shughuli hiyo kwa mwaliko wa mtuhumiwa huyo ambao walitambulishwa ukumbini kuwa dada wa Rais Kikwete, walichangia 400,000.

Kwa mujibu wa kumbukumbu rasmi za shughuli hiyo, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Henry Shekifu ambaye sasa ni Mbunge wa Lushoto (CCM), alichangia Sh500,000.

Viongozi wengine waliohudhuria na kiasi walichochanga kwenye mabano ni Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Khalid Mandya (200,000), Mbunge wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka (Sh1.5 milioni), na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara, Lucas Ole Mukusi (Sh100,000).

Laizer alisema tukio la wizi huo limebaki kuwa kama mchezo wa kuigiza huku baadhi ya wanachama na viongozi wenzake wakimtuhumu hata yeye wakidhani alihusika kwa njia moja au nyingine.

“Baada ya mgeni rasmi (Nahodha) kunikabidhi mfuko wenye fedha usiku ule pale ukumbini, nilimwita (mtuhumiwa jina tunalo) na kumkabidhi mbele na wajumbe wawili wa kamati ya utekelezaji wilaya na tangu siku ile, sijawahi kumwona wala kupata mawasiliano naye,” alisema Laizer.

Aliwataja Wajumbe wa Kamati ya Utendaji walioshuhudia makabidhiano hayo kuwa ni Bonny Shongo na Paul Sipitet.
“Siku tatu baadaye tulimtafuta (mtuhumiwa), bila mafanikio na tulipompata kwa njia ya simu alidai yuko Mjini Arusha kwa shughuli binafsi lakini baada ya muda mfupi alitutumia ujumbe mfupi wa simu akitutaka kutafuta mtu mwingine (wa kujaza nafasi yake) kwani yeye ameondoka,” alisema Sipitet.

Katibu wa UVCCM wilayani humo, Mwanakombo Amiri alisema kwa simu hakuna kumbukumbu yoyote kwenye majalada ya kiofisi inayohusu kikao cha maandalizi wala fedha zilizopatikana kwenye harambee hiyo.

“Hakuna chochote kwenye faili kuhusu jambo hilo unalouliza. Kikao kilichopita cha kamati ya utekelezaji kilizungumzia suala hilo ingawa haikuwa moja ya ajenda. Ila kikao kijacho ambacho siwezi kukutajia kitafanyika lini hilo ni moja ya ajenda muhimu na tutatoa uamuzi kulingana na kanuni zetu,” alisema Mwanakombo.

Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, ambaye ni miongoni mwa waliotafuniwa fedha zao walizochangia alithibitisha ofisi yake kupokea taarifa za fedha za kuyeyuka kwake na kusema tayari ameziagiza ngazi husika (UVCCM), kuchukua hatua kulingana na  kanuni na taratibu zao na pia kutoa taarifa polisi ili hatua za kisheria zichukuliwe.

“Sisi kama Serikali, chama kikichukua hatua na kuwasilisha taarifa, nitaagiza polisi wachukue hatua za kisheria kwa kuchunguza na kumtia mbaroni mtuhumiwa. Nakushauri pia uwasiliane na katibu wa CCM wilaya ambaye ndiye mlezi wa jumuiya zote za chama ngazi ya wilaya,” alisema Mandya.

Mkuu huyo wa wilaya alisema baada ya ofisi yake kutopata taarifa za utekelezaji wa amri yake ya mhusika kuchukuliwa hatua hadi sasa, ameamua kuuandikia barua rasmi uongozi wa UVCCM na chama wilaya kudai utekelezaji wa agizo lake kutokana na wahusika kuonekana wazito katika jambo hilo.

Hata hivyo, Katibu wa CCM Wilaya ya Simanjiro, Jamila Mjungu alikataa kuzungumzia suala hilo akisema UVCCM ni jumuiya inayojitegemea, yenye viongozi na wasemaji na kanuni za kutatua matatizo yao.

Uchunguzi wa kina umebaini kuwa mtuhumiwa huyo sasa ni diwani katika moja ya kata za Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma ambako aligombea na kushinda kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Katibu Mkuu wa UVCCM, Martin Shigela alisema ingawa jambo hilo halijaripotiwa kwake na uongozi wa wilaya ya Simanjiro, atafuatilia na kuhakikisha mhusika anachukuliwa hatua kulingana na kanuni za jumuiya hiyo na sheria za nchi bila kujali cheo, umaarufu wala nasaba yake na viongozi.

“Kwanza inawezekana mtuhumiwa ni tapeli mzoefu anayetumia jina la mheshimiwa Rais na familia yake kuwatisha

  ...........................                    Chanzo ni mwananchi...................................................................

2/13/2012

More questions about Whitney houston death



Los Angeles (CNN) -- There were more questions than answers Monday about Whitney Houston's sudden death, with authorities offering few details even as the iconic singer's passing loomed large over music's biggest night.
Coroners completed the autopsy Sunday on Houston, who was found dead a day before in her suite in the upscale Beverly Hilton just hours before she was to attend a pre-Grammy Awards bash at the hotel.
Assistant Chief Ed Winter of the Los Angeles County Coroner's office told reporters "there will be no cause of death at this time because it is pending toxicology reports."
Winter declined to release the coroner's initial finding of cause of death, saying lab results were expected in six to eight weeks.

"I know there are reports that she maybe was drowned or did she overdose, but we won't make a final determination until all the tests are in," he said. Winter ruled out foul play, and said there were no injuries to her body.
Winter confirmed reports that Houston was found in the bathtub of her hotel room. "I believe somebody removed her from the bathtub and the paramedics did CPR on her," he said.
Entertainment news website TMZ, citing "informed sources," reported pill bottles were found in Houston's room. CNN could not immediately confirm the TMZ report and Winter declined to comment.
Beverly Hills police have requested a "security hold" on the coroner's report, a common practice in high-profile cases that limits what can be revealed about a probe while it is ongoing.
"So there will be no additional information put out as far as what was discovered in the room, any details of that nature," Winter said.
Whatever the exact cause, the grief over the death of Houston -- whose soaring voice and enormous talent were clouded in recent years by her battles with drug addiction -- was evident Sunday at the Grammy Awards.
Host LL Cool J began his Grammy monologue by acknowledging "we've had a death in our family" and offering a prayer thanking God "for sharing our sister Whitney with us."
"Although she's gone too soon, we remain truly blessed to have been touched by her beautiful spirit and to have her lasting legacy of music to cherish and share forever," the rapper and actor said.
Toward the end of the show, under a bright, solitary spotlight, Jennifer Hudson took to the stage at the Staples Center to perform Houston's mega-hit "I Will Always Love You."
Accompanied by a piano, Hudson delivered a searing, heartfelt performance that brought the audience to its feet, ending the song with one new line: "Whitney, we love you."
Earlier, on the red carpet, gospel singer Kim Burrell told CNN she'd exchanged voicemails with her good friend Houston shortly before her death, describing her as being "in great spirits, as always." She always thought of Houston as a "fighter" and a "survivor," which made the idea of her passing all the more difficult to comprehend.
"She's my sister and she'll always be my sister," said an emotional Burrell. "I love her dearly."
Burrell said she'd flown to California to join Houston in attending a pre-Grammy party Saturday night hosted by the songstress' longtime mentor, Clive Davis.
As late as Monday morning, remembrances continued to pour in from around the world.
In a statement, Nelson Mandela extended his condolences to Houston's family and friends over her death. He recalled how she dedicated her performance of "Greatest Love Of All" to him during a White House dinner in his honor in October 1994.
"May she rest in peace," the statement said.
Amid the outpouring of grief, Beverly Hills police said Houston's 18-year-old daughter, Bobbi Kristina, was taken to Los Angeles' Cedars-Sinai Medical Center, Sunday morning. Details of her condition were not disclosed.
A source close to the family told CNN that by late Sunday afternoon the teenager was out of the hospital and would be heading back to New Jersey possibly as early as that night. She was expected to go to the home of her grandmother, gospel singer Cissy Houston, in New Jersey, said the source, who spoke on condition of anonymity because of the sensitive nature of the issue.
Burrell said she was with the teenager late Saturday, admitting the girl had felt "overwhelmed" while expressing confidence that "she'll pull through."
Bobbi Kristina Brown was born during Houston's marriage to Bobby Brown, which ended in divorce in 2007.
Her father, Brown, was swarmed by media when he arrived at Los Angeles International Airport Sunday night after pulling out of a performance with New Edition in Nashville, Tennessee, in the wake of the death.
Brown did not take any questions, and was quickly whisked into a waiting limousine.
The night Houston died, he was openly emotional during a concert in Southaven, Mississippi, said attendee and CNN iReporter Moshiu Knox, at one point asking people to say a prayer for his daughter, for his mother and "for me, because I'm going to need it."
"Bobby was crying during his performance and at one point had to walk off stage," Knox said.
Houston's family said in a statement Sunday, "We are devastated by the loss of our beloved Whitney. This is an unimaginable tragedy and we will miss her terribly. We appreciate the outpouring of love and support from her fans and friends."