Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

9/27/2011

Huyu ni mwandishi wa habari?

Mwandishi wa habari Kennedy Rowland akiwa anachafua mazingira
 na aliposhtuka nampiga picha akanipa mgongo
Kamaliza shughuli yake anaendelea na safari.
                                          

9/26/2011

Hakunaga sehemu kali kama kibosho-Kilimanjaro.

Mbuzi huyo anachinjwa kwa ajili ya mila za kichaga.

Hapa tukawa tunakunywa killicho asili yetu yani MBEGE.
Jamaa katikati sijui ndo imeanza kupanda kichwani?