Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

3/17/2012

Tumaini yaichabanga TEKU katika kila mchezo kasoro mpira wa miguu ambapo wametoka sare ya 2-2

Katika uwanja wa Netball mambo yalikua hivi



    Baada ya ushindi timu ya Tumaini ikajipumzikia

                                                                   Kwenye basketball sasa

   Timu ya Tumaini ikijiandaa na game

   Timu ya TEKU nayo iliwa imejipanga vyema

    Baadhi ya mashabiki wa kikapu wakiwa katika pozi

                       Vijana wa Tumaini wakiwa makini mchezoni

    Kijana Faraja Naiman akitulizwa baada ya kutaka kugombana katika game hiyo

    Mashabiki wa basketball wakiwa katika pozi

    Mashabiki wakicheki game kwa uangalifu kabisa

  Game ikaisha ambapo Tumaini walishinda na hapo wanaonekana wakisali

                                  Vuta nikuvute kwenye mpira wa miguu mpaka matokeo ya 2-2

    Vijana wakiwa uwanjani wanasakata kabumbu


    Kocha akitoa maelekezo kwa mchezaji baada ya maji kuonekana kuzidi unga

Wanachuo wa TEKU wamewasili chuo kikuu cha Tumaini.

Wakiwa kwenye gari kabla hawajaingia chuoni Tumaini

Gari la TEKU likiwa linaingia chuo kikuu cha Tumaini

Hapa ilitokea hali ya kutoelewana na mlinzi akasema wanafunzi wa TEKU wasipoacha kelele hawatoingia chuoni.

Hapa ndo wamefika chuoni na kupokelewa na mlezi wa wanafunzi

Hapa baadhi ya wanafunzi wa TEKU wakiwa ndani ya jengo la library

bado wakiwa ndani ya jengo la library wakipokea baadhi ya maelekezo


Baadhi ya wanafunzi wa TEKU ndani ya studio za HOPE fm

3/16/2012

Prof. Nicholas Bangu: Promote English for better tommorow

By Frank Kimaro

The provost of  Iringa  University college (IUCO) Prof. Nicholas Bangu  gives his presentation during lunching of campaign to promote English speaking at University campus.
In  his presentation  the Provost said enhancement of English  language and it`s communication skills are  important things  to every student around the campus.He said that when we will have our own big industries,when we will stop depending on other countries aids, when we will start having invent things,discover  and having our oown technology it is when our Swahili language will come in to power.
By using his power point he presented the number of people who are estimated to be users of English language across the globe and he said more than two billion people are living in the countries where English has official status.



  Prof. Nicholas Bangu speaks with the students of  (IUCO) on the importance of English language.                

The explainations of the professor where emphasizing the point that you can`t  run from English language in this world rather than struggle hard in order to master it. He said sometimes you have to practice even town twist to test speed of  words and competence in speaking the language.
                    
He further added more than half of the world scientific and technical journals as well as newspapers are printed in English, not only that but also three-fourth of world e-mails are in English and over seventy percent of scientists use English in their daily activities.
Provost encourage the students to practice English language in their daily activities through mention and explain the rationale of knowing English language where he said someone will have the ability to access informations which are shared internationally,one can have the abilty to negociate effectively forexanple in class student can have much confidence in asking question if he or she understand well English also another important thing he said is that through understanding the language you can think critically and listen effectively.