Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

10/28/2011

Katika mahafali ya 14 ya chuo kikuu cha Tumaini Iringa.

     Wahitimu wakiwa katika msafara kabla ya sherehe hiyo kuanza.

       Wahitimu wakiongozwa na mshauri wa wanafunzi mch. Osward Ndelwa wakielekea sehemu husika kwa             ajili ya wahitimu.

10/27/2011

Mkuu wa mkoa wa Iringa Dk. Christine Ishengoma aahidi kutatua tatizo la mikopo kwa wanafunzi wa Chuo kikuu cha Tumaini Iringa.(picha zote na Frank Kimaro)

Mkuu wa mkoa alipowasili katika chuo kikuu cha Tumaini Iringa.
                                              Waziri mkuu wa chuo kikuu cha Iringa akiwa
                                            anasoma risala fupi kwa mkuu wa mkoa wa Iringa.
                                                Mkuu wa mkoa akiwa ananongonezana
                                               jambo na raisi wa chuo Bw. Method Kagoma.
                                                      Raisi wa chuo akiwa anatoa rai kwa
                                                 wanafunzi kabla mkuu wa mkoa ajaanza kuongea.
 
                                             Mkuu wa wilaya ya Iringa capt. Asser Msangi
                                               alipokuwa akimkaribisha mkuu wa mkoa.
                               Mkuu wa mkoa akaanza kuelezea jinsi alivyoipokea risala na kuahidi
                                 kuyafanyia kazi matatizo ya wanafunzi likiwepo tatizo la mikopo.
                                                Mshauri wa wanafunzi Mch. Osward Ndelwa
                                              akiwa anamsikiliza kwa makini mkuu wa mkoa
                                                 katika mkutano wake na wanafunzi.
                                      Prof. Nyagava akiwa anauliza swali juu ya ukarabati wa
                                   barabara inayotumika na wahadhiri na wanafunzi kufika chuoni.
                                                    Wanafunzi kwa ujumla wakiwa wanamsikiliza                                                   mkuu wa  mkoa alipofika chuoni kusikiliza matatizo yao.