Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

8/06/2013

Diamond akiwa South Afrika kikazi zaidi

  VIDEO MPYA AKIWA NA GARI AINA YA FERARRI/WASAFI



 
Mafundi wa Afrika Kusini wakihakikisha plate ya Wasafi imekaa NJEMA!
 
Bongo Flava Prince, Diamond Platnumz yupo nchini Afrika Kusini kishule na kikazi pia. Staa huyo wa Kesho ameshoot video ya wimbo wake mpya ambao bado haujulikani ni upi mpaka sasa.




Hata hivyo tofauti na video zake za awali, hii mpya amekata kisu kirefu zaidi kwa kushoot na miongoni mwa gari yenye thamani zaidi duniani, Ferrari. Cha kufurahisha zaidi ni kuwa gari hiyo inayotengenezwa na Waitaliano, imewekewa namba za gari binafsi kwa kuandikwa ‘Platnumz’ na Wasafi’.



UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JOMO KENYATTA WALIPUKA NA MOTO

UWANJA WA JKIA UKIWA UMELIPUKA KWA MOTO MKALI NA KUSABABISHA KUSITISHWA KWA MATUMIZI YA UWANJA HUO.