Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

4/03/2014

Segere la C.C.M Mwembeyanga


Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakicheza kwa furaha

Snura na team Majanga uwanjani..............

Majengo yaliyoingia kwenye hifadhi ya barabara yabomolewa Kariakoo

                                Baadhi ya wakazi wa Kariakoo wakipita kando ya ngazi
                                            iliyobomolewa kwenye mtaa wa Congo.

                                      Wapita njia wakiangalia jengo lililobomolewa kwa 
                                                sehemu ya nje na askari wa jiji.

                                       Askari wa jijin kwenye Doria ya kuhakikisha Machinga
                                                    hawauzi vitu mtaa wa Congo.

                                Wananchi wakimalizia kuliangusha jengo lilibomolewa na askari
                                                wa jiji ili lisije likawaangukia wananchi.

                                     Mtaa wa Congo ukiwa safi.