Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

9/17/2013

Airtel yakabidhi hundi ya milioni 40 kwa Kikosi cha usalama barabarani.

 Meneja Uhusiano wa Airtel - Tanzania, Jackson Mmbando akizungumza na waandishi wa habari juu ya udhamini wa Airtel kwenye wiki la nenda kwa Usalama barabarani ikiwa ni muda mfupi baada ya kampuni hiyo kukabidhi hundi ya shilingi milioni 40 kwa Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Kamanda Mohamed  Mpinga (kushoto).

 Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani, DSP Mohamed R. Mpinga (katikati) akifurahia baada ya kupokea hundi ya shilingi milioni 40 kutoka Airtel kwa ajili ya


Kamanda Mpinga akiteta jambo na Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando baada ya makabidhiano ya hundi.

9/04/2013

MSICHANA WA KINAIGERIA ANTHONIA OJO ANASWA NA KETE 99 ZA UNGA JNIA DAR


JITIHADA ZA KUREJESHA HESHIMA KWA VIWANJA VYA NDEGE NCHINI ZILIZOANZISHWA NA WAZIRI WA UCHUKUZI DK. HARISSON MWAKYEMBE ZINAONEKANA KUZAA MATUNDA BAADA YA MWANADADA KUTOKA NCHINI NIGERIA ANTHONIA OJO (25) KUKAMATWA NA KETE 99 ZA MADAWA YA KULEVYA DAR ES SALAAM LEO.

Zifuatazo ni picha mbalimbali za tukio zima la kunaswa kwa mtuhumiwa huyo ambapo anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi wakati kete hizo zimepelekwa kwa ofisi ya Mkemia Mkuu kwa uchunguzi zaidi. 

ANTHONIA OJO AKIWASILI KITUO CHA POLISI CHA JNIA BAADA KUKAMATWA.




ANTHONIA OJO AKIWA CHINI YA ULINZI AKISINDIKIZWA KUPANDA GARI LA POLISI KUTOKEA ENEO MLANGO WA KUWASILI ABIRIA JNIA LEO.

ANTHONIA OJO AKIELEKEA KWENYE GARI BAADA YA KUKAMATWA

PASPORT YAKE

HILO NDO BEGI MADAWA HAYO YALIKUWEMO



AKIZITOA KWENYE MIKEBE YA POWDER NA SHAMPOO 

SEHEMU YA KETE 99 ALIZOKAMATWA NAZO.

HUYO NDO ANTHONIA OJO AKIWA KITUO CHA POLISI

MADAWA HAYO YAKIRUDISHWA KWENYE VYOMBO BAADA YA KUONESHWA KWA WANAHABARI.

RECORD ZA ANTHONIA ALIWAHI KUJA TENA MWAKA 2011
Anthonia Ojo (25) Raia wa Nigeria akiwa na kete 99 za madawa ya kulevya baada ya kukamatwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam jana, akieleke Roma Italia kupitia Paris Ufaransa kwa ndege ya Ethiopian Airways. Msichana huyo aliingia hapa nchini Agosti 30 akitokea Nigeria. Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Viwanja vya Ndege, Renatus Chalya, Ojo anaendelea kubaki chini ya ulinzi wa polisi kwa uchunguzi zaidi, wakati madawa hayo yamepelekwa kwa ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali ili kubaini aina ya dawa hizo, thamani yake na hatimaye atafikisha mahakamani. 

source: Robert Okanda

8/06/2013

Diamond akiwa South Afrika kikazi zaidi

  VIDEO MPYA AKIWA NA GARI AINA YA FERARRI/WASAFI



 
Mafundi wa Afrika Kusini wakihakikisha plate ya Wasafi imekaa NJEMA!
 
Bongo Flava Prince, Diamond Platnumz yupo nchini Afrika Kusini kishule na kikazi pia. Staa huyo wa Kesho ameshoot video ya wimbo wake mpya ambao bado haujulikani ni upi mpaka sasa.




Hata hivyo tofauti na video zake za awali, hii mpya amekata kisu kirefu zaidi kwa kushoot na miongoni mwa gari yenye thamani zaidi duniani, Ferrari. Cha kufurahisha zaidi ni kuwa gari hiyo inayotengenezwa na Waitaliano, imewekewa namba za gari binafsi kwa kuandikwa ‘Platnumz’ na Wasafi’.



UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JOMO KENYATTA WALIPUKA NA MOTO

UWANJA WA JKIA UKIWA UMELIPUKA KWA MOTO MKALI NA KUSABABISHA KUSITISHWA KWA MATUMIZI YA UWANJA HUO.


3/18/2013

Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili(Voice of America) Dk. Mwamoyo Hamza azungumza na wanazuoni wa Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa

                                Mkuu wa kitengo cha habari katika chuo kikuu cha Tumaini Mr Simon Berege akifungua mazungumzo.

Prof. Ceth Nyagava ambaye ni muadhiri katika chuo hicho akimshika mkono Dk. Mwamoyo Hamza huku akielezea kuwa  alishatamani kusoma Howard University chuo alichosoma Dk. Hamza.


                                               Dk. Hamza akielezea umuhimu wa kuthamini fani yako akitolea mfano maisha yake katika tasnia ya uandishi wa habari.

                               Dk. Mkwera muazilishi wa Best FM akitoa machache kwa wanafunzi.


                                     Prof. Nyagava akisisitiza jambo juu ya umuhimu wa kuyajua majukumu na kuwa muwajibikaji katika maisha.

                                Baadhi ya wanafunzi wakisikiliza kwa umakini nasaha zilizokuwa zikitolewa na  Dk Hamza Momoyo.

3/03/2013

Yaliyojiri kwenye Kili Marathon leo


                                 Baadhi ya wacheza muziki wa dance wakionesha vitu vyao

                                 Jamaa alikamatwa baada ya kumshika mke wa mtu makalio

                                  Watoto wa kichaga wakimwaga radhi

                                Baadhi ya wakazi wa Moshi wakishuhudia show

                                  Mshindi wa kike katika mashindano ya kucheza akiwa anaonesha vitu vyake

                                        Uzalendo ukamshinda huyu mshikaji akamua kufanya kitu cha ajabu

Jamaa akiwa anacheza nyimbo ya chapia kwa kutumia baiskeli

Hawa nao wakakusanya raia kibao na kuwafanya waache kufuatilia kilichokuwa kinaerndelea jukwaani.

2/23/2013

Maelfu ya wakazi wa Arusha wakusanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid katika kuiombea nchi amani

PICHA ZA TUKIO HILO KATIKA UWANJA MAARUFU WA SHEIKH AMRI





Godbless Lema aahidi kufanya maandamano na wanafunzi wa Arusha Secondary katika kurudisha viwanja vya wanafunzi vilivyoporwa na Matajiri wachache.

NI KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA HAMSINI TANGU KUANZISHWA KWA SHULE HIYO.

ASEMA MAANDAMANO MABAYA NI YA KUANDAMANA KWENDA KUVUTA BANGI SI KUANDAMANA KATIKA KUDAI HAKI..

ASISITIZA WANAFUNZI KUSOMA KWA BIDII NA KUEPUKA KUIGA TABIA HATARISHI HUSUSANI KUTOKA KWENYE VIPINDI VYA TV.

                      Godbless Lema akiwa anasoma matokeo ya wanafunzi wa form 4(Arusha Secondary) kwa masikitiko makubwa.

                                         Akimkabidhi Hoyce Temu cheti maalumu kama moja ya zao la shule hiyo


                                          Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Link inayowawezesha wanafunzi kwenda kusoma nje Abdulwakil Molel ambaye pia alisoma Arusha Secondary akitoa wito wa serikali kwamba ni lazima kujipanga zaidi katika kuokoa hali ya elimu nchini.

2/07/2013

Lori lililokuwa limebeba madawa ya kulevya lakamatwa jijini Arusha

LIKIWA NA MAGUNIA 97 YA BANGI

                                Askari akiingia kwenye lori ambalo lilikuwa limepaki kabichi kwa juu huku likiwa                limebeba shehena ya kutosha ya madawa ya kulevya ndani.

                                Wakiwa wanatoa virago vilivyobeba dawa za kulevya

                                  Magunia machache kati ya 97 yaliyokamatwa na Bangi

                                   Kamanda mkuu wa mkoa (ARUSHA) Liberatus Sabas akiwa anakagua mizigo iliyokamatwa

                                         Akiwa anaonesha raia sehemu ya bangi iliyokanatwa

1/28/2013

Kama unaweza jitoseeeeeeeeeeeeeee

Inside the 'moderately deluxe' £40m life on offer to suitor who can convince Hong Kong billionaire's lesbian daughter to marry him

Cecil Chao
Hong Kong billionaire Cecil Chao, right, who offered nearly £40 million to any man who could turn his homosexual daughter Gigi, left, straight, has revealed the luxury lifestyle which any suitor could expect should he win her hand. He still seems to be ignoring Gigi's civil partnership with Sean Yeung, offering a 'moderately deluxe lifestyle' to anyone who successfully pursues his daughter. And the 76-year-old billionaire gave a glimpse of just what he means when by 'moderately deluxe' as he welcomed a reporter into his Happy Lodge home on the western shore of Hong Kong.

                                                            written by Dailymail reporter

1/19/2013

LEMA AHOJI KWA NINI DIAMOND ALIPWE MIL. 12 KWENYE SHOW YA UZINDUZI WA JIJI LA ARUSHA WAKATI ALIIMBA NYIMBO 1 KWA DK 5

ADAI HAKUKUWA NA SABABU YA MSINGI YA KUFANYA HIVYO HUKU ZE COMMEDY GROUP WALILIPWA MIL 1O

NI KATIKA MKUTANO WA HADHARA ULIOFANYIKA OYSTEBAY ARUSHA

GODBLESS LEMA JUKWAANI

                                Aliyekuwa katibu wa uenezi C.C.M kata ya UNGALIMITED(pichani) baada ya kujivua gamba akakubali kuwa alikuwa mmoja kati ya watu wawili walioongoza uchakachuaji wa kura za udiwani wa UNGALIMITED 2010.

                                Jamaa akiipondaponda T-shirt ya C.C.M

                                 Hawa nao wakagawana hiyo T shirt ya C.C.M katika vipandevipande

MAMBO MENGINE ALIYOZUNGUMZIA MBUNGE WA ARUSHA MJINI NI PAMOJA NA USANII UNAOENDELEA KATIKA VIKAO VYA KAM ATI ZA BUNGE, UNAFKI UNAOENDELEA KATIKA NCHI HII PAMOJA NA SUALA LA MEYA WA ARUSHA MJINI YA KWAMBA BADO HAMTAMBUI.,
\