Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

12/06/2012

Vibanda vya wafanyabiashara Kongowe vyabomolewa

*Mgambo wa manispaa ya Temeke ndio waliohusika
*Ilikuwa ni usiku wa kuamkia Leo

*Wadai hawakuwa na taarifa yeyote
*Mwenyekiti wa serikali za mitaa asema serikali haitambui kilichoendelea


                                   Baadhi ya hazina iliyosalimika baada ya nyumba kubomolewa


                                       Jamaa akikusanya mzigo wake baada ya hali kuwa tete

                                 Kukomaa huku mzee Fastaeli Samanga akibeba mabati yake

                              Jamaa alinusurika ikabidi aanze kungoa mbao za kibanda mwenyewe

12/05/2012

Prof. Anna Tibaijuka azindua kitabu kinachoitwa"LAND AS A HUMAN RIGHT"

Akiwa pamoja na muandishi wa kitabu hicho Assistant Lecturer wa School of law katika chuo kikuu cha Da r es salaam, Bw Abdon Rwegasira(kushoto) pamoja na Vice Chancellor wa chuo hicho Prof. Rwekaza Mukandala.

                                Prof. Anna Tibaijuka akikiongelea kitabu na jinsi kinavyoweza kusaidia jamii ya Tanzania.

                            
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya katiba Maria M. Kashonda akielezea migogoro ya ardhi hususani inayosababishwa na kutokuwepo na haki ya wanawake kumiliki ardhi. Akasisitiza haki ya mwanamke kumiliki ardhi lazima iwepo katika katiba.

12/04/2012

Rufaa ya Lema yanguruma: Lisu aichachafya mahakama

Wakili wa Lema akiongea na Lema wakati wa mapumziko

 Akiwa mahakamani

                                                      Baadhi ya watu wakisikiliza rufaa ya Lema

                                                     Akiwa anatoka mahakamani


                                             Akiwa anaoneshwa sehemu ya kusimama ili aongee na watu

                                           Hapo akabainisha kuwa alionewa ila anaamini Mungu yupo na pia haki haikutendeka maana ikulu waliingilia kazi yake.
                                    STORY IN ENGLISH

By FRANK KIMARO
Consul for Former Arusha Urban Member of Parliament, Godbless Lema, yesterday requested the court of appeal to quash the high court judgment and set aside it`s decree nullifying the election results of their client as Member of Parliament for Arusha Urban Constituency.

On 5th April this year, High Court Judge, Gabriel Rwakibalila unsated Lema after holding that the Former MP had committed illegal practices including using abusive language against CCM candidate,Dr Batilda Burian during campaigning in 2010 general election .

Lema council, Tundu Lisu faulted such findings when addressing judges of the appeal court claiming that the CCM members who had petitioned to challenge the election results of which Judge Rwakibalila relied in their evidence to give his judgement had no mandate of doing so.

“The only proper person to substantiate such defamatory was  Dr. Batilda and not the three petitioners as they were not the one defamed,” he told a panel comprise of Justice Salum Massati, Natalia Kimaro and Justice Bernard Luanda.

Supporting argument by Advocate Lisu, State Attorney Timoth Vitalis appeared in court on behalf of Attorney General told the judges that defamation is a total of person nature and the one who was defamed was required to appear in  the court but surprising enough she didn`t.

In addition to that he said that among the issues which were raised in high court against Lema includes resident discrimination in which he was accused of speaking abusive words against CCM candidate noting that kind of discrimination is not recognized by the law.

“There are four types discrimination according to the law which are Gender discrimination, Racial discrimination, Religious discrimination and Racial discrimination those others are not recognized by the law,” he said.

However the lawyer for three CCM members, Advocate Alute Mughwai requested the court to dismiss with cost the appeal by the reason that grounds of appeal raised lacked facts and they have no power to challenge the judgement of high court.
The decision which is the subject matter in the appeal was given on April 5, 2012 by High Court Judge Gabriel Rwakibalira, declaring Lema's election in the 2010 General Elections null and void.Lema had polled 56,561 votes, leaving Dr Batilda Burian, his closest challenger and a CCM candidate, finishing a distant second with 37,460 votes.  Dr Burian, a former Cabinet minister, is now Tanzania's High Commissioner to Kenya.
His victory was nullified after the court said it had been proven beyond any reasonable doubt that the then Chadema candidate uttered defamatory remarks and used abusive language against his CCM rival, Dr Burian.But later CHADEMA appealed against the ruling claiming it was a "travesty of justice," citing that the alleged defamatory and abusive language said to have been used by Lema against the CCM candidate, in the preceding campaigns had not been proven.
The opposition party claimed that such claims were not substantiated because the victim, Dr Buriani, who contested with Lema, did not appear before the court to corroborate them.