Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

2/23/2013

Maelfu ya wakazi wa Arusha wakusanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid katika kuiombea nchi amani

PICHA ZA TUKIO HILO KATIKA UWANJA MAARUFU WA SHEIKH AMRI





Godbless Lema aahidi kufanya maandamano na wanafunzi wa Arusha Secondary katika kurudisha viwanja vya wanafunzi vilivyoporwa na Matajiri wachache.

NI KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA HAMSINI TANGU KUANZISHWA KWA SHULE HIYO.

ASEMA MAANDAMANO MABAYA NI YA KUANDAMANA KWENDA KUVUTA BANGI SI KUANDAMANA KATIKA KUDAI HAKI..

ASISITIZA WANAFUNZI KUSOMA KWA BIDII NA KUEPUKA KUIGA TABIA HATARISHI HUSUSANI KUTOKA KWENYE VIPINDI VYA TV.

                      Godbless Lema akiwa anasoma matokeo ya wanafunzi wa form 4(Arusha Secondary) kwa masikitiko makubwa.

                                         Akimkabidhi Hoyce Temu cheti maalumu kama moja ya zao la shule hiyo


                                          Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Link inayowawezesha wanafunzi kwenda kusoma nje Abdulwakil Molel ambaye pia alisoma Arusha Secondary akitoa wito wa serikali kwamba ni lazima kujipanga zaidi katika kuokoa hali ya elimu nchini.