Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

10/24/2012

Sherehe za UN zamalizika jijini Dar es salaam

Mh. SAMWELI SITTA ALIKUWA MGENI RASMI AKIMUWAKILISHA WAZIRI WA MAMBO YA NJE Mr. BERNARD MEMBE  KATIKA SHEREHE ZILIZOFANYIKA KARIMJEE-DAR ES SALAAM.

UMOJA WA MATAIFA UMETIMIZA MIAKA 67 NA KWA TANZANIA NI MIAKA 51 
HABARI KATIKA PICHA
Wanafunzi wa Heritage English Medium School wakipita kwa gwaride katika sherehe hizo

                              Mh. Samweli Sita akisoma risala yake kwenye sherehe za U.N

WANAFUNZI WA HERITAGE WAKIONESHA UJUZI WAO KWA KATIKA KUCHAPA GWARIDE