Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

11/19/2012

ANAOMBA MSAADA WAKO MTANZANIA

Bi Arafa Issa Namaji(Pichani) mwenye umri wa miaka 39 mkazi wa kijiji
cha Narung’ombe wilayani Ruangwa Mkoani Lindi  anaomba msaada wa
haraka utakaomuwezesha kupata matibabu ya uvimbe ulio katika paji la
uso uliotokana na maumivu makali ya kichwa baada ya kupata matibabu
katika hospitali ya Ndanda na kuelekezwa kufika katika hospital ya
Taifa ya Muhimbili(MNH) Kwa uchunguzi zaidi na matibabu

Tatizo lilianza tangu mwezi february 2012,alianza kwa kuumwa na
kichwakwa maumivu makali sana na kipele kidogo kikatokea kwenye paji
la uso,hivyo basi kadri kilipopungua maumivu ndipo kipele kiliendelea
kuwa kikubwa hadi kuathiri macho na sehemu ya pua baada ya kuona hali
inazidi kuwa mbaya Majirani na marafiki wa karibu walimshauri kwenda
hospitali ya wilaya,alipofika Daktari  alimpa rufaa ya kwenda
hopsitali ya Ndanda,hata hivyo Ndanda pia wakampa rufaa kwenda
hospitali ya rufaa muhimbili kwa uchunguzi zaidi.

kutokana na hali hali hiyo ngumu aliyonayo Kutokana na kuwa katika hali duni na hana mtu yeyote wa kumsaidia Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa wameichangishana kupata
kiasi cha nauli pamoja na hela kidogo ya kujikimu kwa siku
mbili,lakini bado anahitaji msaada zaidi wa pesa kwasababu atahitaji
kuishi zaidi DSM Akiwa  katika hospital ya Muhimbili kwa ajili ya
uchunguzi pamoja na matibabu yake

Kwa alietayari kumsaidia anaweza kuwasiliana na Mwenyekiti wa Klabu ya
Waandishi wa Habari mkoa wa Lindi ambae pia ni mwakilishi wa Channel
ten,Abdulaziz Ahmeid kwa namba za simu 0787176221 au 0756696048
Kutoa ni Moyo ili kumsaidia mama huyu

                        picha na story kwa hisani ya Francis Godwin blogspot

11/18/2012

China to join forces in building Bagamoyo Port


By FRANK KIMARO

Tanzania and China have launched a joint task force for the development of Bagamoyo Port and Special Economic Zone in Mbegani area at Bagamoyo district. The Minister of State in the Prime Minister`s Office (Investment and Empowerment), Dr Mary Nagu announced yesterday.  
                                   Dr, Nagu when she was launching the Joint Task Force combining people from China and Tanzania to build Bagamoyo port.(Photo by Mohamed Mambo) 

Dr Nagu said Tanzania and China have invested a lot in the project which will benefit both countries especially Tanzania saying, “7.5 billion US dollars have been contributed by both countries to make sure the project is implemented and I know through this Tanzania will benefit economically, especially the business sector as there will be Industries, hotels and more alongside the port which will boost the economy,” she said.

Dr Nagu further noted that Tanzanians should bear in mind that the project will reduce unemployment saying that a good number of people will be employed in the port or in any other business sectors of the project.

Dr Nagu in her remarks further stated that the project will not be for public sector only but also the private sector will be invited to invest and this will bring competition which will result to the development of that sector in the country.

Dr Nagu further thanked the Chinese government through China Merchants Holding Company for the cooperation they are giving Tanzania and Africa in general saying that the cooperation has being there and it should be there always.

Speaking at the same occasion, the Ambassador of China to Tanzania Mr Lu Youqing traced the two countries relationship including the building of Tanzania and Zambia Railway (TAZARA)

“Tanzania and China are old friends since 1965 when the late J.K Nyerere visited China and introduced the ideal of building a railway from Tanzania to Zambia and the government of that time accomplished the task, that means we are old friends,” he said.

Ambassador Youqing urged all parties involved in the project to commit in order to avoid some difficulties which might hinder the success of the project.