Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

12/14/2012

Chikawe unveils what hinders development in Tanzania


By FRANK KIMARO

Selfishness and favoritisms are among things which hinder work efficiency in  any organization.

The Minister for Constitution and Legal affairs, Mr Mathias Chikawe made the remarks when launching the Ministry’s Workers Council meeting which elected new leaders in Dar es Salaam yesterday.

“Such attitudes bring complaints and reduce workers commitment and morale in work place,” he said.

The Chairman of the council Mr Fanuel Mbonde still continues with his term while Justin Moshi is the new secretary and Rose Lugendo his assistant.

Minister noted that there are some organizations in which leader’s decision are normally influenced by selfishness and favoritism.

“It is not a surprise to see in different organizations, chances for schooling, official trips or even ranks are given on the basis of religion, tribalism and sometimes friendship. That is a bad behavior which divides workers and we should make sure we are escaping it,” he told the workers council.

He further mentioned the poor uses of power is among the disease which contributes highly to our country’s destruction adding that there are people who are playing great part in the matter.

“Poor uses of power and Public wealth are a cancer which is attacking our country currently and some of us we have become ants, we chew and destruct public wealth without any fear,” he said.

Mr Chikawe also said that discipline and avoidance of conflicts in places of work are vital if any organization or ministry needs development,t adding that wherever there is lack of discipline and conflicts between workers there is also inefficiency in working.

Other issues which were discussed in the Ministry of Constitution and Legal Affairs Workers Council meeting, includes lack of workers in the ministry.

Mrs Christina Sonyi is the Director of Policy and Plans in the Ministry, In her presentation she noted that there are some departments which lack workers and that sometimes act as an obstacle in the implementation of different strategies and plans in the Ministry.

“There is scarce of labors in some departments, that is among the challenges we are facing and it hinders the implementation of our policies and strategies,” she said.

Responding to the matter, a special delegate of the council, Mr Moses Chitama noted that they are fighting to make sure that they employ people in order to eradicate the problem.

“We have employed some people especially in Procurement department, now there are some eight people in it, and we hope we will do the same to other departments which are lacking workers,” he said.

Kikao cha baraza la wafanyakazi katika wizara ya katiba na sheria chamalizika.

                                Waziri Mathias Chikawe akiongea na wafanyakazi wa wizara

                                 Akisisitiza jambo

12/13/2012

Ponda afikishwa tena mahakamani: Mashahidi wawili wasikilizwa


                                  Akiwa anasindikizwa na ulinzi wa maaskari kuelekea mahakamani


                                             Ulinzi ukiwa umeimarika vyema

Na Flora Mwakasala
MJUMBE wa Baraza la Ulamaa, Shekhe Habibu Ismail (46) ameieleza mahakama kuwa baraza hilo liliridhia na kutoa kibali kwa Baraza la waislamu Tanzania (Bakwata) kubadilishana ardhi na na kampuni ya AgriTanza.
Alidaa hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakati akitoa ushahidi katika kesi ya uchochezi na wizi wa mali zenye thamani ya Sh milioni 59 inayomkabili Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Shekhe Ponda Issa Ponda na wenzake 49.
Akiongozwa na Wakili wa Serikali Tumaini Kweka kutoa ushahidi, Shekhe Ismail alidai kuwa, kampuni hiyo inamiliki kihalali kiwanja kilichopo katika eneo la Chang’ombe markazi kwa kuwa walifuata taratibu zote za kubadilishana ardhi.
Alidai kuwa Januari 3 mwaka jana baraza hilo lilikaa kikao na kutoa majukumu kwa Katibu wa Bakwata pamoja na timu yake yautendaji kutafuta eneo kubwa kwaajili ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu ambapo Januari 8 walisema wamepata eneo la ekari 40.
Shekhe Ismail ambaye ni Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga alidai kuwa, walikwenda kuliona eneo hilo lililopo Kisarawe Mkoani Pwani, kwa kuwa walikuwa na wasiwasi kutokana na eneo lao kuwa ekeri nne na kampuni hiyo kukubali kuwapa ekari 40.
Akihojiwa na wakili wa washitakiwa, Juma Nassoro, Shekhe Ismail alidai kuwa hafahamu utaratibu uliotumika kuipata kampuni ya Agritanza kwa kuwa watendaji wakuu walikuwa Bakwata na hajui kwanini eneo hilo ambalo awali alidai lilikuwa ni ekari 27 lilibaki ekari nne.
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Kampuni ya Agritanza, Suleiman Mohamed akitoa ushahidi alidai kuwa alisikia Bakwata wanatafuta eneo la ekari 30 na wapo tayari kubalishana ndipo walipoamua kuwatafuta na wakaambiwa watakubaliana baada ya kufuata taratibu.
Alidai baada ya kupata eneo hilo walizungusha ukuta kutenganisha eneo lao na shule ya kiislamu ya markazi lakini aliambiwa Ponda na wenzake walifika hapo na kuwaamuru mafundi wasimamishe ujenzi na wao waliafiki lakini baada ya muda  watu wanaokadiriwa kuwa zaidi 300 walivamia eneo hilo na kuanza ujenzi.
Hata hivyo akihojiwa, Mohamed alidai hawafahamu washitakiwa hao na kwamara ya kwanza alimuona Ponda alipokwenda kutoa maelezo kituo cha polisi na kuongeza kuwa hakuibiwa mali zake lakini watu asio wafahamu walitumia matofali mchanga na kokoto kujenga.
Mahakama imepokea vielelezo vitatu ambavyo Muhutasari wa kikao cha Januari 3 na Januari 8 mwaka jana cha Baraza la Ulamaa pamoja na mkataba baina ya Bakwata na Kampuni ya Agritanza. Kesi itatajwa tena desemba 18 na kuendelea kusikilizwa desemba 31 mwaka huu.
                                      Polisi wakiwalinda wafuasi wa Ponda

                                 Wakili wa Ponda Bw Juma Nasoro akiongea na wafuasi wa Ponda

12/09/2012

Burudani yatumika kuhamasisha wananchi wa Lindi juu ya Lishe bora

Mrisho Mpoto akiongoza watoto waliobeba mabango juu ya Lishe bora
Mpoto akiwa kwenye maigizo na kikundi chake cha Mjamba

                                 Kaimu mkuu wa mkoa wa Lindi akiwa anashuka kwenye gari
 
                                                       Kijana wa sarakasi akiwa kazini

                               Kikundi cha watoto kikiimba ngonjera inayoasa juu ya Lishe bora

                                     Umati wa watu ukishuhudia michezo mbalimbali
                                                                 Wanasarakasi kazini