Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

5/10/2012

Msiba wa Neema Kinyau waleta simanzi kwa wanafunzi wa Chuo cha Tumaini Iringa

Msiba wa Mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika kitivo cha sheria

                                         
                                                Baadhi ya wanafunzi kwenye msiba


                                       Wakiwa wamejipanga wanausubiria mwili wa marehemu


                                                 Mwili wa marehemu ukafika salama

            Hapa mwili wa marehemu unapelekwa jengo la Multirpurpose kwa ajili ya kuagwa kwa mara ya mwisho

 
                              Watu wakiwa wamejipanga vyema kwa ajili ya kuuaga mwili wa marehemu 

                                            Tayari kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho

                             Mkuu wa chuo cha Tumaini Prof. Nicholas Bangu akitoa heshima za mwisho

                                          Wanafunzi wenzake wakato heshima za mwisho

                                         Mwili anapelekwa kwenye gari kwa ajili ya safari

                                         Unaingizwa kwenye gari kwa ajili ya safari ya Dodoma

Kisha watu wakatawanyika kwenda kwenye shughuli zao mbalimbali

5/07/2012

Tumaini yaiogesha Mzumbe ya Mbeya mvua ya magoli


                        Katika viunga vya mpira wa miguu ambapo matokeo yalikua Tumaini 3 Mzumbe 0

                                                                 Wakati wa mapumziko
                    Kocha wa timu ya mpira wa miguu na kikapu Mr. Renatus Mgongo akitoa maelekezo
                                          Wachezaji wa Tumaini wakiwa katika mapumziko

                                         Mchezaji wa Tumaini aliyefunga goli la tatu maarufu kama
                                         Mpoto (katikati) akipokea shukrani baada ya game kuisha.
     
                                  KWENYE MPIRA WA KIKAPU MZUMBE WAKAPIGWA 48 KWA 23

Shabiki wa mpira wa kikapu Mobi akiwa katika pozi
                                                            Hapo ndo mechi ikaanza

                                                                   Tumaini wakacheza mchezo wanaouita FORT JESUS

                                         Mambo yakaenda vyema lakini mchezaji huyu
                                                   alikuwa majeruhi wa nyonga

                                KWENYE MPIRA WA WAVU MZUMBE WAKACHEZEA KICHAPO PIA

                                           Baadhi ya wanafunzi wakiwa uwanjani

     Juhudi zikafanywa na wanafunzi wa Mzumbe ili kurudisha magoli lakini  ikashindikana


                                KWENYE MPIRA WA PETE WAKAOSHWA TENA

Timu mbili zikichuana vikali uwanjani




                                 Baada ya ushindi wa Tumaini furaha ikatawala kiwanjani

                         Mashabiki wa timu ya Tumaini wakiwa wanachekelea ushindi wa timu yao

                                Baada ya kufungwa Mzumbe wakawa wadogo kinyama

                                    Hapa nikakutana na ndugu yangu wa Mzumbe ikabidi nimfariji maana alikuwa na machungu ya kufungwa.

                                    Waziri wa michezo wa Tumaini Lazaro Mlyuka pamoja na mshauri wa wanafunzi wakaenda kutoa shukrani zao kwa wanafunzi wa Mzumbe

Hapa wanafunzi wa Mzumbe wakiwa kwenye gari tayari kwa safari