Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

9/08/2012

KOICO inawapeleka maafisa 15 Korea

Maafisa 15 kutoka mikoa mbalimabali ya Tanzania wataondoka kwa ndege ya Qatar Airlines kuelekea Korea kwa ajili ya kozi fupi ya Local Administration Management inayodhaaminiwa na Korea International Cooperative Agency.


 Miss Kinjee Ming akiongea na washiriki watakaoondoka Tanzania kwenda nchini Korea

Baadhi ya washiriki wa kozi wakipitia passport zao


                              Akiwagawia vitabu kama muongozo wa kozi watakayoenda kuisoma

                                            Akiwa anajibu maswali ya hapa na pale