Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

3/18/2013

Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili(Voice of America) Dk. Mwamoyo Hamza azungumza na wanazuoni wa Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa

                                Mkuu wa kitengo cha habari katika chuo kikuu cha Tumaini Mr Simon Berege akifungua mazungumzo.

Prof. Ceth Nyagava ambaye ni muadhiri katika chuo hicho akimshika mkono Dk. Mwamoyo Hamza huku akielezea kuwa  alishatamani kusoma Howard University chuo alichosoma Dk. Hamza.


                                               Dk. Hamza akielezea umuhimu wa kuthamini fani yako akitolea mfano maisha yake katika tasnia ya uandishi wa habari.

                               Dk. Mkwera muazilishi wa Best FM akitoa machache kwa wanafunzi.


                                     Prof. Nyagava akisisitiza jambo juu ya umuhimu wa kuyajua majukumu na kuwa muwajibikaji katika maisha.

                                Baadhi ya wanafunzi wakisikiliza kwa umakini nasaha zilizokuwa zikitolewa na  Dk Hamza Momoyo.