Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

11/26/2011

Aliyekuwa Jaji mkuu Mh. Augustino Ramadhani ahadhiri katika chuo kikuu cha Tumaini Iringa.

        Prf. Nicholas Bangu alipokuwa akimkaribisha Jaji mkuu kwa ajili ya kuongea na wanafunzi

                      Jaji mkuu akiwa anaelezea jambo wakati alipodhuru chuo kikuu cha Tumaini-Iringa

                       Baadhi ya wanafunzi walioudhuria katika mhadhara huo.

                                  Jaji mkuu akiwa anajadili kitu na mkuu wa chuo Prf. Nicholas Bangu


         Prf. Nicholas Bangu akiwa anamuuliza swali aliyekuwa jaji mkuu Augustino Ramadhani

                                 Jaji mkuu akiwa anajibu swali aliloulizwa na Prf. Bangu

Dk. Monica mhadhiri wa masomo ya sheria baada ya kumuuliza swali Jaji mkuu
                                          Wanafunzi wa sheria wakiwa wanamsikiliza Jaji mkuu


No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.