Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

10/19/2012

Vuguvugu la maandamano Dar- waandamanaji wasekwa mbaroni

HABARI KATIKA PICHA

Mama huyu alizimia baada ya kusikia mlipuko wa bomu

Jamaa akagoma kuingia kituo cha polisi 

Polisi wakijaribu kudhibiti baadhi ya watu waliosadikika ni waanzilishi wa vurugu

Mzee huyu alilia sana lakini haikusaidia aishushwa kwenye gari na kukokotwa hadi kituo cha polisi

Jamaa akijaribu kuwavusha watoto kwenye ghasia zilizotokea

                               Kariakoo ilikuwa nyeupe kwa mara ya kwanza SIJAWAHI KUONA

                                                            Gari hili lilivunjwa vunjwa vioo

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.