Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

11/08/2012

Mama wa Kenya ajifungua na kuwaita watoto wake Barack Obama na Mitt Romney

                                   NI BAADA YA USHINDI WA BARACK OBAMA

Millicent Owour (20), alijifungua watoto hao siku ya jumatano na kuamua kuwaita jina la raisi wa marekani na Mpinzani wake kwa dhumuni la kuikumbuka siku hiyo.
        Mwanadada Millicent Owour akiwa amewabeba watoto wake Barack Obama na Mitt Romney

Mwanadaada huyo alijifungua watoto hao umbali mfupi kutoka kijiji cha Kogelo sehemu aliyozaliwa baba wa Barack Obama na ni sehemu ambayo bado bibi yake Sarah Obama mwenye miaka Tisini anaishi.
                                          Wakiwa wamepumzika

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.