Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

11/28/2012

TGNP wasisitiza kukomesha ukatili juu ya wanawake

TANZANIA GENDER NETWORK PROGRAM WAHIMIZA SUALA LA UKATILI WA WANAWAKE LICHUKULIWE KAMA NGUZO MUHIMU INAYOWEZA KUSAIDIA KATIKA KUKUZA UCHUMI WA NCHI ENDAPO LITAPEWA KIPAO MBELE.

@ YABAINIKA SINGIDA NA MARA NDIO MIKOA INAYOONGOZA KWA UKATILI WA KIJINSIA

MKOANI SINGIDA KUNA KEMIKALI ZINAZOFANANISHWA NA ASIDI AMBAZO HUTUMIKA KWA UKEKETAJI WA WATOTO WADOGO.

JAMII YAOMBWA KUPIGA VITA UNYANYASAGJI WA KIJINSIA KWA MAENDELEO YA JAMII NZIMA.

HABARI KATIKA PICHA
Usu Mallya, Mkurugenzi wa Tanzania Gender Network Programme
akiongelea juu ya ushirikishaji wa wanawake katika ujenzi wa uchumi

              Bi Talaka Nyanja akiimba ushairi unaowahamasisha viongozi kuwa na uzalendo kwa wananchi wao

Kikundi cha vijana kikitoa somo juu ya unyanyasaji wa wanawake kupitia maigizo

BURUDANI MUHIMU SASA HUU UKAWA WAKATI WA KUJIMWAGA



                                 

                                     Baobab Johnson wakiwa wanaonesha uwezo wao wa kucheza

                                   SEGEREEEEEEE, watu wakawajibika



No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.