Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

3/17/2012

Wanachuo wa TEKU wamewasili chuo kikuu cha Tumaini.

Wakiwa kwenye gari kabla hawajaingia chuoni Tumaini

Gari la TEKU likiwa linaingia chuo kikuu cha Tumaini

Hapa ilitokea hali ya kutoelewana na mlinzi akasema wanafunzi wa TEKU wasipoacha kelele hawatoingia chuoni.

Hapa ndo wamefika chuoni na kupokelewa na mlezi wa wanafunzi

Hapa baadhi ya wanafunzi wa TEKU wakiwa ndani ya jengo la library

bado wakiwa ndani ya jengo la library wakipokea baadhi ya maelekezo


Baadhi ya wanafunzi wa TEKU ndani ya studio za HOPE fm

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.