Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

9/29/2012

Waendesha bodaboda 132 watunukiwa shahada leo jijini Dar es salaam


NI KATIKA KUFUNGA MAFUNZO YA WAENDESHA PIKIPIKI YALIYOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA DAR ES SALAAM

KAIMU MKURUGENZI MKUU WA SUMATRA, BW AHMAD KILIMA NDIYE ALIYEKUWA MGENI RASMI

HABARI KATIKA PICHA

                          








 Watu wakajitoa kwanza ufahamu kabla hawajaanza kukabidhiwa vyeti 


                      Sergeant Polycarp Mwandanji akiwaongoza waendesha bodaboda katika kula kiapo juu ya    utekelezaji wa sheria barabarani

                      Omary Sadiki akionesha mbinu walizojifunza katika katika mafunzo juu ya utumiaji wa          barabara

Kaimu Mkurugenzi wa SUMATRA,Bw Ahmad Kilima akimshika mkono Omary Sadiki kwa kumpongeza kwa juhudi alizoonesha katika kuonesha jinsi walivyojifunza juu ya matumizi ya barabara.

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.