Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

12/05/2012

Prof. Anna Tibaijuka azindua kitabu kinachoitwa"LAND AS A HUMAN RIGHT"

Akiwa pamoja na muandishi wa kitabu hicho Assistant Lecturer wa School of law katika chuo kikuu cha Da r es salaam, Bw Abdon Rwegasira(kushoto) pamoja na Vice Chancellor wa chuo hicho Prof. Rwekaza Mukandala.

                                Prof. Anna Tibaijuka akikiongelea kitabu na jinsi kinavyoweza kusaidia jamii ya Tanzania.

                            
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya katiba Maria M. Kashonda akielezea migogoro ya ardhi hususani inayosababishwa na kutokuwepo na haki ya wanawake kumiliki ardhi. Akasisitiza haki ya mwanamke kumiliki ardhi lazima iwepo katika katiba.

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.