Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

12/06/2012

Vibanda vya wafanyabiashara Kongowe vyabomolewa

*Mgambo wa manispaa ya Temeke ndio waliohusika
*Ilikuwa ni usiku wa kuamkia Leo

*Wadai hawakuwa na taarifa yeyote
*Mwenyekiti wa serikali za mitaa asema serikali haitambui kilichoendelea


                                   Baadhi ya hazina iliyosalimika baada ya nyumba kubomolewa


                                       Jamaa akikusanya mzigo wake baada ya hali kuwa tete

                                 Kukomaa huku mzee Fastaeli Samanga akibeba mabati yake

                              Jamaa alinusurika ikabidi aanze kungoa mbao za kibanda mwenyewe

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.