Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

12/09/2011

Hatimaye timu za chuo cha Tumaini Iringa zarejea nyumbani baada ya michuano ya vyuo vikuu huko Tanga.

Timu ya mpira yafanikiwa kuchukua kikombe huku timu ya mpira wa wavu ikiwa ya pili katika michuano hiyo.

                                              Wakiwa wanajiandaa na safari kutoka Tanga

                                                   Masai a.k.a mahasira sasa amerudi kambini

                               Vikombe vilivyokua vikishindaniwa katika michuano hiyo.

 Waziri wa michezo Bw. Hashim akiwa ameshika kikombe walichoshinda Tumaini katika mpira wa miguu.

 
     Naibu waziri Lazaro Mlyuka akifungafunga machungwa kutoka Tanga.
                         Big. Joh baada ya safari ndefu sasa yupo tena dimbani kutoka Tanga.

   Jamaa akatoka wapi sijui akajifanya anapokea watu kumbe anamendea maembe na machungwa.

                     Anajifanya kachoka kubeba machungwa nilipomuomba nimsaidie akakataa















No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.