Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

4/15/2012

Tumaini University yaichabanga Ruaha University 38-34 katika mchezo wa kikapu

                             Faraja Naiman(big) wa Tumaini akiwa anaenda kudaka mpira kabla mechi haijaanza

                   Maxwell mchezaji wa Tumaini akiwa anapenya vizuri kabisa kwa ajili ya kwenda kufunga

           Kocha wa timu ya Tumaini Renatus Mgongo akiwa an anatoa maelekezo kwa wachezaji wake

                               mchezaji wa Tumaini baada ya kuanguka katika mchezo huo

                            shabiki maarufu kama Masai akiwa anashabikia mchezo huo

                Mchezo ulivyozidi kuwa mgumu RUCO wakaitana kidogo waelekezane baadhi ya mambo

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.