Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

4/19/2012

Yanayoendelea katika chuo kikuu cha Tumaini Iringa kabla ya Uchaguzi mkuu chuoni hapo

                             Vijana wakiwa wanasubiri wagombea wao kuja kuanza kunadi sera zao

      Aliyekuwa naibu waziri wa habarih(Catherine Moshi) akiwa na mwalimu wake(Mr. Damalo) kabla ya    kuanza kuwasikiliza wagombea mbalimbali

   Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi(Edo Mfungo) akiwa anamtambulisha mgombea wa Uraisi Joshua Chussi

    Mshauri wa wanafunzid(Hosward Ndelwa) alisimama kuwakanya wanafunzi pale kelele zilipozidi

                   Mgombea wa kiti cha uraisi Mauna Chuma akiwa anazinadi sera zake

                          Mmoja kati ya wagombea wa kiti cha makamu wa raisi Judith Kahwa

                 Shabiki huyu alshindwa kuhimili hisia zake na kujikuta amepanda juu ya dawati akishabikia

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.