Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

9/16/2012

Dr. Asha Rose Migiro apokelewa kwa kishindo

NI BAADA YA KUMALIZA MUDA WAKE KAMA NAIBU KATIBU MKUU WA UN

                              Akiwa anashangiliwa na Umoja wa wanawake Tanzania huku wakiimba nyimbo za asili


                               Mama Salma Kikwete aliyekuwa mgeni rasmi katika
sherehe hiyo akionesha umaridadi wa kucheza ngoma pamoja na Dr. Asha Rose Migiro

                              Bibi Maria Nyerere(katikati) akiwa pamoja na Mama Siti (kulia)
                              pamoja na spika wa bunge Ana Makinda wakisikiliza hotuba ya
                              Mgeni rasmi
Mwenyekiti wa UWT na Mh. Waziri wa maendeleo ya jamii na jinsia na watoto (kulia) akiupungia umati uliokusanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja

                              Mama Salma akimkabidhi tuzo Dr Migiro
Dr Migiro akiwapa mkono watu waliokuwa wakimshangilia na kumpa zawadi

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.