Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

11/15/2012

Anaomba msaada wenu watanzania

Zinahitajika milioni sita ili mwanawe akafanyiwe matibabu India


Haja ya mtoto huyo hupita katika sehemu ya Tumbo

Na zamani ilikuwa ikipita mdomoni kabla hajafanyiwa operation hospitali ya Muhimbili

Anashindwa kujitafutia kipato kwa madai kwamba mtoto atamuachia nani?

Anasema hawezi kumtupa kama wengine wanavyowatupa wa kwao.

AKASEMA: “Naomba mnisaidie”

1 comment:

  1. mhh kiukweli yatupasa kumshukuru mungu kwa alivyotuumba ni neema piia yatupasa pia kuwaombea na kuwasaidia pia inapowezekana wenye matatizo kama hayo jamani dahh imeniuma sana jamani mtoto anasikitisha na mama yake aisehhh Eeeh mungu we naomba umbariki huyu mama aweze kupata msaada...

    ReplyDelete

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.