Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

12/16/2011

Afariki baada ya kuchoma sindano ya kuongeza uume



Huko New Jersey,  kijana wa miaka 22 amefariki dunia baada ya kuchomwa sindano ya 'silicone' kwenye ume wake! Eti alitaka iwe kubwa zaidi! Jamani!  Hivi nyie wanaume hamridhiki na kile Mungu alichowapa?

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.