Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

12/16/2011

Andrew Ayew atangazwa kuwa mchezaji bora wa BBC Afrika kwa mwaka huu 2011.

Ayew ametajwa kuwa mchezaji bora wa Afrika huku ikidhihirika wazi kuwa anafuata nyendo za baba yake Abeid "pele" ayew ambaye alishinda tunzo ya BBC mwaka 2011.

Ayew alisema kuwa anaheshimu tuzo hiyo na anashukuru sana kwa watu wa Ghana,Afrika na dunia kwa ujumla ambao walimpigia kura na kusababisha kuipata tuzo hiyo. Ayew au Dede kama anavyofahamika anakuwa ni mchezaji wa tano kutangazwa kama mchezaji bora wa BBC Afrika, wa kwanza alikuwa baba yake akifuatiwa na Sammy Kuffour (2001), Michael Essien (2006) pamoja na Assamoah Gyan(2010).

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.