Pages

Sample Text

Frank Kimaro run this blog

12/17/2011

Mawaziri na wabunge walivyokua kwenye muda wa mapumziko katika kikao cha bajeti



         spika wa bunge la chuo cha Tumaini akiwa anajadiliana jambo na wabunge wakati wa chakula


waziri wa HIV/AIDS akiwa katika pozi
                         Waziri wa katiba na sheria(kushoto) akiwa na naibu spika wa bunge

                           Naibu waziri wa habari (kushoto) akiwa anadoea chakula cha mbunge


                                 Waziri wa makazi akiwa anakula chakula chake taratibu


                                      Naibu waziri wa mikopo naye katika pozi mida ya lunch


                                 Baadhi ya wabunge wakiwa wamejibana sehemu wanakula

                           Waziri mkuu naye mida ya chakula akawakilisha vyema kabisa

                        Mbunge anayewawakilisha wanafunzi wa Journalism akiwa katika pozi

                                     Naibu waziri mwingine wa mikopo akiwa anakunywa maji tu

Mwanamichezo maarufu Shikide akiwa anabugia bila kuogopa kukabwa huku akiwa mmoja wa wanasoka walioalikwa kwenye kikao cha bunge.

Wanamichezo waliolikwa bungeni walipokuwa kwenye lunch

No comments:

Post a Comment

COMMENT HAPA UKIMALIZA, KWENYE PROFILE SELECT ANONYMOUS KISHA BONYEZA PUBLISH.